

Lugha Nyingine
马英九:南海仲裁无实地调查 反成和平解决障碍
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Julai 24, 2025
百度 那么,后者真能够Hold住《环太平洋》系列吗?从他接棒这个项目的第一天起,小电君就产生了这个疑虑。
Mazungumzo Kati ya Staarabu tofauti Miongoni mwa Nchi za Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai (SCO) 2025 yamefanyika mjini Tianjin, kaskazini mwa China jana Jumatano yakivutia washiriki wapatao 300 kutoka ndani na nje ya China. Shughuli za pembezoni zikiwemo za maonyesho ya maandishi ya Lugha ya Kichina, maonyesho ya sanamu, na maonyesho ya urithi wa utamaduni usioshikika pia zimefanyika kwenye mazungumzo hayo.
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma